Follow this blog with bloglovin

Ads

Keki Ya Chokoleti Ilokoza Na Kahawa

Keki Ya Chokoleti Ilokoza Na  Kahawa  
    
Vipimo
Unga - 2 vikombe
Sukari - 2 vikombe
Mafuta  - ½ kikombe
Mayai - 2
Kaukau (cocoa) - ¾  kikombe
Kahawa ya unga - 2 vijiko vya supu
Baking powder - 1 kijiko cha chai
Baking soda - 2 vijiko vya chai
Maziwa - 1 ¾  kikombe
Chumvi - ½  kijiko cha chai 
Namna Kupika:
  1. Washa jiko la oveni moto wa 350° - 375° F 
  2. Paka mafuta treya ya kupikia keki ya saizi 9” x 13” ikiwa ni yenye shimo la wazi kama ilivyo katika picha. Ikiwa huna treya hiyo, tumia ya kawaida. 
  3. Katika bakuli, tia unga, sukari, kaukau, unga wa kahawa, baking powder, baking soda, chumvi. 
  4. Piga mayai katika kibakuli kidogo kisha changanya katika unga pamoja na mafuta  na maziwa.  
  5. Mimina katika treya ya kupikia keki, pika katika oveni kwa muda wa dakika 35 takriban. 
  6. Epua ipoe kisha ikate saizi ya vipande upendavyo.
   
SHARE

Author

Hi, Its me Hafeez. A webdesigner, blogspot developer and UI/UX Designer. I am a certified Themeforest top Author and Front-End Developer. I'am business speaker, marketer, Blogger and Javascript Programmer.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: